Search results

  1. C

    PAPA FRANCIS AFARIKI DUNIA: UTARATIBU WA KUPATA MRITHI WAKE

    KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani PAPA Francis ameaga dunia leo katika Jumatatu ya Pasaka akiwa na umri wa miaka 88. Kwa mujibu wa Vatican, Papa amefariki asubuhi ya saa 1.35 za Italia. Kwa mujibu wa historia na mapokeo, hadi Papa Francis anaaga dunia, Kanisa Katoliki limeongozwa na mapapa...
  2. C

    WIMBO WA AFRIKA MASHARIKI

    Maneno ya KiswahiliManeno ya Kiingereza Ee Mungu twaomba uilinde Jumuiya Afrika Mashariki Tuwezeshe kuishi kwa amani Tutimize na malengo yetu. Kiitikio: Jumuiya Yetu sote tuilinde Tuwajibike tuimarike Umoja wetu ni nguzo yetu Idumu Jumuiya yetu. Uzalendo pia mshikamano Viwe msingi wa Umoja...
  3. C

    WIMBO WA AFRIKA MASHARIKI

    Maneno ya KiswahiliManeno ya Kiingereza Ee Mungu twaomba uilinde Jumuiya Afrika Mashariki Tuwezeshe kuishi kwa amani Tutimize na malengo yetu. Kiitikio: Jumuiya Yetu sote tuilinde Tuwajibike tuimarike Umoja wetu ni nguzo yetu Idumu Jumuiya yetu. Uzalendo pia mshikamano Viwe msingi wa Umoja...
  4. C

    WIMBO WA AFRIKA MASHARIKI

    Maneno ya KiswahiliManeno ya Kiingereza Ee Mungu twaomba uilinde Jumuiya Afrika Mashariki Tuwezeshe kuishi kwa amani Tutimize na malengo yetu. Kiitikio: Jumuiya Yetu sote tuilinde Tuwajibike tuimarike Umoja wetu ni nguzo yetu Idumu Jumuiya yetu. Uzalendo pia mshikamano Viwe msingi wa Umoja...
  5. C

    MUNGU IBARIKI AFRIKA

    1. Mungu ibariki Afrika Wabariki viongozi wake Hekima, Umoja na Amani Hizi ni ngao zetu Afrika na watu wake KIITIKIO: Ibariki Afrika Ibariki Afrika Tubariki watoto wa Afrika 2. Mungu ibariki Tanzania Dumisha Uhuru na Umoja Wake kwa Waume na Watoto Mungu ibariki Tanzania na watu wake...
  6. C

    TANZANIA NAKUPENDA KWA MOYO WOTE

    1. Tanzania Tanzania, nakupenda kwa moyo wote, Nchi yangu Tanzania, jina lako ni tamu sana Nilalapo nakuwaza wewe, niamkapo ni heri mama wee Tanzania Tanzania, nakupenda kwa moyo wote. 2. Tanzania Tanzania, ninapokwenda safarini, Kutazama maajabu, biashara nayo makazi, Sitaweza kusahau mimi...
  7. C

    TAZAMA RAMANI SOMG

    1. Tazama ramani utaona nchi nzuri Yenye mito na mabonde mengi ya nafaka, Nasema kwa kinywa halafu kwa kufikiri, Nchi hiyo mashuhuri huitwa Tanzania Majira yetu haya, yangekuwaje sasa Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2. 2. Chemchem ya furaha amani nipe tumaini, Kila mara niwe kwako...
  8. C

    PENATI ZOTE ZA SIMBA VS AL MASRY (2025-04-09)

    Tazama PENATI zote za Simba dhidi ya Al MASRY.
  9. C

    MBONGO MJANJA NA MZUNGU

    Mzungu alisafiri na Mbongo kwenye ndege wakakaa siti moja... Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=. Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita...
  10. C

    Ukiwa na Mtoto huyu! una hasara.

    Mtoto mmoja alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka nje kuongea na simu. Mtoto akamwinamia Doctor na kusema kwa sauti ya chini:- "Doctor Kwenye dozi ya dawa niandikie na FANTA BARIDII, CHIPS na MISHIKAKI kutwa mara 2 kwa siku 30.
  11. C

    PADRI KAJIONGEZA 😄😄

    Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani peke yake. Mara kukaingia jamaa mmoja akapiga magoti upande wa pili, akafanya ishara ya msalaba kisha akaanza kuungama {confess} "Padri nimekuja kuungama dhambi zangu, leo nimefanya dhambi kubwa sana." Padri, "Endelea..." "Bosi wangu...
  12. C

    MFUGA NGURUWE NA MWANA HARAKATI

    Jamaa alikuwa anafuga nguruwe, siku moja akatembelewa na wanaharakati wa Haki za wanyama . MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini? . MFUGAJI: Nawalisha mabaki ya chakula toka migahawa mbalimbali . MWANAHARAKATI: Hayo ni makosa unawatesawanyama kwa kuwalisha chakula kichafu. Akapigwa faini...
  13. C

    TAMAA MBAYA

    Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake: JAMAA: Shem nakupenda! MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki yako akijua? tena koma! JAMAA: Ntakupa milioni 1! MKE: Basi njoo kesho mchana mume wangu akiwa kazini! Kesho yake Jamaa kaja na milioni 1 wakamalizana na mke wa rafki yake, jioni ilipofika Mume akarudi...
  14. C

    Bili ilivyomchanganya MASSAWE.!

    MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akaletewa bili kama ifuatavyo: Manka 35,000 Marieta 20,000 Kekuu 30,000 Kitime 15,000 Kinabo 10,000 TOTAL 110,000/= MASSAWE akaicheki akasema "Wote nitawalipia lakini huyo "TOTAL" Yesuu simlipii. Kwansa anamiliki sheli...
  15. C

    Unadhani Bwana Rwegashora alifanyaje...???

    Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja. Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi. Ndipo...
  16. C

    🤪😄DUUH!! NI NJAA TU AU KUNA LA ZIADA🤣🤣

    Bint:: Hallo mpenzi, mambo! Jamaa:: Poa baby!. Bint:: Uko wapi? Jamaa: Mimi niko town napata lunch. Bint:: Wow! Unarudi saa ngapi? Nina njaa dear, nataka uniletee msosi. Jamaa:: Narudi baada ya nusu saa, Nikuletee nini? Bint:: Niletee chipsi kuku, soseji, mayai manne yakaangwe pembeni...
  17. C

    KUANGALIA MPIRA NA WANAWAKE NI STRESS

    WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown?? HUSBAND: Yule ni Theo Walcott WIFE: ile Yellow Card ni ya nini? HUSBAND: ile ni ya Onyo, na Red Card inamaanisha mchezaji awache kucheza na atoke inje ya uwanja. WIFE: Oooooh! Inakaa kama traffic light! Yellow- Ilani na Red - Simama HUSBAND: Yeah...
  18. C

    KUANGALIA MPIRA NA WANAWAKE NI STRESS

    WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown?? HUSBAND: Yule ni Theo Walcott WIFE: ile Yellow Card ni ya nini? HUSBAND: ile ni ya Onyo, na Red Card inamaanisha mchezaji awache kucheza na atoke inje ya uwanja. WIFE: Oooooh! Inakaa kama traffic light! Yellow- Ilani na Red - Simama HUSBAND: Yeah...
  19. C

    BOSI NA SEKRETARI WAKE 😂

    BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote. SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week. MUME (anampigia mpango wa kando): Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1...
  20. C

    😄😄JE AMEPATIA??

    Dokta alikuwa anakwenda kuwinda hivyo akamuachia majukumu assistant wake Jason. Dokta: "Jason nakwenda kuwinda hivyo majukumu yote ni yako na angalia wagonjwa wote!" Jason: "Ndio mkuu!" Baada ya kurudi dokta akamuuliza vp mambo yalikwendaje kwa Jason.. Jason: " Nliwashughulikia wagonjwa wa3...
Back
Top