😄😄JE AMEPATIA??

caleb

Member
Dokta alikuwa anakwenda kuwinda hivyo akamuachia majukumu assistant wake Jason.
  • Dokta: "Jason nakwenda kuwinda hivyo majukumu yote ni yako na angalia wagonjwa wote!"
  • Jason: "Ndio mkuu!"
  • Baada ya kurudi dokta akamuuliza vp mambo yalikwendaje kwa Jason..
  • Jason: " Nliwashughulikia wagonjwa wa3! Wa1 kichwa kilikuwa kinamuuma nikampa panadol"
  • Dokta: "Safi sana na wapili?"
  • Jason: "Wa2 alikuwa anaumwa na 2mbo na kama linavuruga alisema, nikampa flagyl"
  • Dokta: "Bravo, wee safi sana na wa3 je?
  • Jason: "Dokta nlikuwa nimekaa ghafla mwanamke akaingia na akavua nguo zote akabaki mtupu na akalala kwenye meza. Akapanua miguu na kupiga kelele nisaidie dokta kwa miaka mi5 sijamuona mwanaume!
  • Dokta: "Mungu wangu na ukafanyaje sasa?"
  • Jason: "Nilimuwekea dawa ya matone kwenye macho yake!"
 
Back
Top