Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
- JAMAA: Shem nakupenda!
- MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki yako akijua? tena koma!
- JAMAA: Ntakupa milioni 1!
- MKE: Basi njoo kesho mchana mume wangu akiwa kazini!
- Kesho yake Jamaa kaja na milioni 1 wakamalizana na mke wa rafki yake, jioni ilipofika
- Mume akarudi home na kumuuliza Mkewe, "Rafki yangu SAM kaleta hela yangu milioni 1?"
- MKE akajibu kwa unyonge, "Ndio!"
- MUME: Yes! Ndio maana nampenda SAM kanikopa asubuhi jioni karejesha!!!!
- Mke hoi mzgo umeliwa bure......