Wakuu karibuni tujuzane hatua na maandalizi muhimu ya kufuata wakati wa kuanza ujenzi wa nyumba
Nina eneo langu nataka kuanza ujenzi Sasa nimepitia thread nyingi humu zinazoelezea ramani nimeshindwa kuelewana ile michoro hasa ya ground floor.
Hivi wazee wetu zamani wakati wanajenga walikua wanachora ramani ngumu Kama hizi? Mbona huko kijijini fundi anaitwa tu anaanza ujenzi na nyumba inatoka Kama ilivyokusudiwa. Anyway tuachane na hayo. Kwa ambao mmejenga nyumba zenu tupeni hatua na mambo muhimu ya kuandaa ili kuimaliza nyumba mapema.
Mfano nyumba yenye vyumba vitatu vyote master, public toilet, jiko, sebule, dinning,library(na Cha maombi hicho hicho),store.
Michango yenu ni muhimu sana kupata makadirio ya gharama na ushauri juu ya hii nyumba yangu.
Nina eneo langu nataka kuanza ujenzi Sasa nimepitia thread nyingi humu zinazoelezea ramani nimeshindwa kuelewana ile michoro hasa ya ground floor.
Hivi wazee wetu zamani wakati wanajenga walikua wanachora ramani ngumu Kama hizi? Mbona huko kijijini fundi anaitwa tu anaanza ujenzi na nyumba inatoka Kama ilivyokusudiwa. Anyway tuachane na hayo. Kwa ambao mmejenga nyumba zenu tupeni hatua na mambo muhimu ya kuandaa ili kuimaliza nyumba mapema.
Mfano nyumba yenye vyumba vitatu vyote master, public toilet, jiko, sebule, dinning,library(na Cha maombi hicho hicho),store.
Michango yenu ni muhimu sana kupata makadirio ya gharama na ushauri juu ya hii nyumba yangu.